AjiraMpyaLogo

afisa mifugo msaidizi daraja la ii - (livestock field officer ii) - 5 post

Vacancy Details

POST:

AFISA MIFUGO MSAIDIZI DARAJA LA II - (LIVESTOCK FIELD OFFICER II) - 5 POST

EMPLOYER:

MDAs & LGAs

APPLICATION TIMELINE::

2025-02-19 2025-02-28

JOB SUMMARY:

NIL

DUTIES AND RESPONSIBILITIES:

i.Kufanya uchunguzi wa magonjwa ya mifugo kwa wafugaji wa eneo lake;

ii.Kufanya kazi pamoja na Wakaguzi wa afya ya wanyama, kukagua nyama na usafi wa machinjio;

iii.Kukusanya takwimu za nyama na mazao yatokanayo namifugo kama ngozi na kuandika taarifa;

iv.Kutibu na kutoa chanjo za magonjwa ya mifugo chini ya usimamizi wa daktari wa Mifugo na kushauri wafugaji jinsi ya kukinga mifugo dhidi ya magonjwa;

v.Kutembelea wafugaji mara kwa mara na kuwapa ushauri wa kitaalam katika eneo lake la kazi;

vi.Kukusanya takwimu zote za maendeleo na magonjwa ya mifugo katika eneo lake la kazi na kutoa taarifa;

vii.Kushauri na kusimamia ujenzi wa majosho, machinjio, vibanio na miundombinu inayohusiana na ufugaji bora;

viii.Kusimamia uchanganyaji wa dawa ya josho;

ix.Kusaidia katika uhamilishaji (Artificial Insemination) na uzalishaji (breeding) wa mifugo kwa ujumla;

x.Kushauri wafugaji kuhusu mbinu bora za kuzalisha maziwa, nyama, mayai na utunzaji wa mifugo; na

xi.Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na fani yake.

 

QUALIFICATION AND EXPERIENCE:

Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha IV au VI wenye Stashahada (Diploma- NTA Level 6) ya mojawapo ya fani ya Uzalishaji Mifugo; Uzalishaji Maziwa na Kuku; Afya ya Mifugo na Uzalishaji; Ukaguzi wa Nyama kutoka Vyuo vya Wakala wa Mafunzo ya Mifugo au sifa inayolingana na hiyo kutoka chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.

 

REMUNERATION:

TGS.C

CLICK HERE TO APPLY