AjiraMpyaLogo

fundi sanifu ujenzi ii (technician civil ii) - 33 post

Vacancy Details

POST:

FUNDI SANIFU UJENZI II (TECHNICIAN CIVIL II) - 33 POST

EMPLOYER:

Wizara ya Afya

APPLICATION TIMELINE::

2025-03-06 2025-03-19

JOB SUMMARY:

N/A

DUTIES AND RESPONSIBILITIES:

FUNDI SANIFU UJENZI II (TECHNICIAN CIVIL II) 

 

i.Kufanya kazi za ujenzi wa kuta za nyumba na kupaka rangi na kufunga mabomba;

 

ii.Kuchonga vifaa vya nyumba za serikali ikiwa ni pamoja na samani “furniture”;

 

iii.Kufanya kazi za upimaji (survey) wa barabara, majengo na mifereji kama atakavyoelekezwa;

 

iv.Kuwapangia kazi Mafundi sanifu wasaidizi na kuhakikisha wanamaliza kama ilivyopangwa.

 

 

i.Kufanya kazi za ujenzi wa kuta za nyumba na kupaka rangi na kufunga mabomba;

 

ii.Kuchonga vifaa vya nyumba za serikali ikiwa ni pamoja na samani “furniture”;

 

iii.Kufanya kazi za upimaji (survey) wa barabara, majengo na mifereji kama atakavyoelekezwa;

 

iv.Kuwapangia kazi Mafundi sanifu wasaidizi na kuhakikisha wanamaliza kama ilivyopangwa.

 

QUALIFICATION AND EXPERIENCE:

i.Waliohitimu kidato cha VI na kufuzu mafunzo ya ufundi ya miaka miwili kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali katika fani za fundi ujenzi;

ii.Waliohitimu kidato cha IV na kufuzu kozi ya ufundi ya miaka mitatu kutoka Vyuo vya Ufundi vinavyotambuliwa na Serikali katika fani za fundi ujenzi;

iii.Wenye Stashahada ya Kawaida katika fani za fundi ujenzi kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali

 

REMUNERATION:

TGS C (MOH)

CLICK HERE TO APPLY