AjiraMpyaLogo

mteknolojia macho daraja la ii (technologist optometrist ) - 7 post

Vacancy Details

POST:

MTEKNOLOJIA MACHO DARAJA LA II (TECHNOLOGIST OPTOMETRIST ) - 7 POST

EMPLOYER:

Wizara ya Afya

APPLICATION TIMELINE::

2025-03-06 2025-03-19

JOB SUMMARY:

N/A

DUTIES AND RESPONSIBILITIES:

i.Kufanya uchunguzi wa upeo wa kuona na kutibu 

ii.Kurufaa wagonjwa kwenye ngazi za juu, zinazohitaji utaalamu zaidi

iii.Kutoa ushauri nasaha 

iv.Kutunza na kurekebisha uharibifu wa vifaa vya macho 

v.Kutengeneza miwani na kurekebisha miwani aina zote 

vi.Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake. 

 

QUALIFICATION AND EXPERIENCE:

Kuajiriwa wenye Stashahada katika fani ya teknolojia ya macho kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali, ambao wamesajiliwa na Mabaraza yanayohusika.

REMUNERATION:

TGHS B (MOH)

CLICK HERE TO APPLY